Jan 3, 2012

Diamond kutiwa mbaroni..



Asiyefunzwa na mamaye, ulimwengu lazima itamshikisha adabu, ‘bwa mdogo’, Naseeb Abdul ameota mapembe, umaarufu mbuzi alionao umempa kiburi, akajiona mbabe kuliko Tyson, akampiga mwandishi wa habari lakini mwisho akapewa kibano na kulala lupango.

Tukio hilo, ni nuksi ya kwanza kwa Diamond mwaka 2012, kwani baada ya kuibua rabsha nzito ya kumdhalilisha Mwandishi wa Habari wa Global Publishers & General Enterprises Ltd, Iringa, Francis Godwin, alishuhudia mkesha akiwa ‘ubayani’ a.k.a kwenye kinyesi.

Chanzo cha Diamond kuswekwa rumande na kuukaribisha mwaka akiwa lupango ni ujasiri wa kizamani alionao ‘janki’ huyo ambao ulimtuma kumpa kichapo Francis, kumnyang’anya kamera, kufuta picha na kuivunjilia mbali.

DIAMOND ALIITAFUTA SHARI IKIWA MBALI
Desemba 31, 2011, Diamond alitakiwa kutumbuiza kwenye shoo ya kuuaga mwaka kwenye Uwanja wa Samora, Iringa.

Shoo hiyo, iliyoandaliwa na mwanamuziki wa siku nyingi wa Bongo Fleva, Mike Mwakatundu ‘Mike T’, ilishindwa kufanyika kutokana na muingiliano wa ratiba.

Kwa mujibu wa menejimenti ya uwanja huo, shoo ya akina Diamond ilitakiwa kufanyika kuanzia saa 8:00 mchana na kufikia tamati saa 12:00 jioni, kisha kupisha tukio lingine la mkesha wa mwaka mpya ambalo liliratibiwa na Umoja wa Makanisa.

Tukio la mkesha, lilitakiwa kuanza saa 12:00 jioni hadi saa 6:00 usiku na mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Christine Ishengoma.

Hata hivyo, shoo ya mchana ilishindwa kufanyika baada ya Diamond kuchelewa kufika uwanjani.
Diamond, alifika uwanjani saa 11:50 jioni na mpaka anajiandaa kupanda jukwaani, tayari muda ulikuwa umemtupa mkono.

Baada ya mashabiki kutangaziwa kuwa Diamond hataweza kuimba kwa sababu muda umemtupa mkono, vurugu zilitawala, huku mwanamuziki huyo akilazimishwa apande jukwaani kwa nguvu.

Kutokana na hali hiyo, Diamond alipanda jukwaa lililokuwa limeandaliwa na Umoja wa Makanisa kwa ajili ya shughuli ya mkesha kwa lengo la kuwaridhisha mashabiki lakini menejimenti ya uwanja, ilimshusha haraka kwa sababu ilikuwa ni kinyume na makubaliano.

Wakati Diamond anashushwa jukwaani, paparazi huyo ‘alimfotoa’ za harakaharaka, kitendo ambacho mwanamuziki huyo hakukubaliana nacho.

Bila woga wala simile, Diamond alimvaa Francis na kumpa kipigo, kisha akamnyang’anya kamera, akafuta picha kabla ya kuipiga chini na kuivunja.

Katika tukio hilo, Diamond alisababisha upotevu wa kamera hiyo ambayo thamani yake ni shilingi 1, 500,000 simu aina ya Nokia yenye thamani ya shilingi 300,000, pia mwanamuziki huyo aliiharibu kompyuta mpakato (laptop) ya mwandishi huyo aina ya Acer.

Baada ya kadhia hiyo, paparazi huyo alikwenda kuripoti polisi kabla ya Diamond kubebwa msobemsobe hadi Kituo cha Polisi Kati alikolala kuanzia jioni ya Desemba 31, 2011 hadi Januari Mosi, 2012 mchana ambapo aliachiwa kwa dhamana.

Tukio hilo, kwa wengine limechukuliwa ni laana ya kusemwa vibaya na warembo ambao amekuwa akiwachanganya kimapenzi.

Hivi karibuni, ulizuka mzozo mkubwa baina ya ma-Miss Tanzania 2006-07, Wema Sepetu aliyebeba taji na mshindi wa pili, Jokate Mwegelo, ikidaiwa kwamba wote wawili, Diamond amewachanganya kimapenzi.


Jan 2, 2012

Well she's never been shy! Rihanna flashes her flesh, and a nipple ring, as parties in sheer dress at P Diddy's bash

She is never one to shy away from showing off her fabulous figure in revealing ensembles. 
But as well as showing off her shape Rihanna displayed her body jewelry as she stepped out at P. Diddy's New Year's Eve party in Miami last night. 
The 23-year-old proudly displayed her nipple ring in the plunging lace number, which left little to the imagination.
Showing some front: Rihanna stepped out in a sheer lace dress last night which left little to the imagination at P. Diddy's party

Wiz Khalifa && Amber Rose In Da’ Club


It’s 2012, and it seems that Amber Rose and Wiz Khalifa are still going strong. They were spotted at ‘Vanity‘ at the Hard Rock Hotel on New Years day, looks like they were giggling and have themselves a nice ole’ time. They were there supporting Drake as he hosted the event.




Mariah Carey & Nick Cannon Spotted in Aspen on New Year’s Eve With The Twins


Mariah Carey and Nick Cannon were spotted wtih their two adorable twins, Moroccan and Monroe in Aspen, CO on New Year’s Eve. Stopping off at Mariah’s mom’s jewelry store, the lovebirds posed for pictures before heading in for a visit with grandma. The family-of-four have been spending the holiday season – including the twins’ first Christmas! – in the celebrity hotspot




'I got changed in front of him and he didn't look': Kim Kardashian strips in closet to 'test' if pal Jonathan Cheban is gay

Any red blooded male might struggle to avert their eyes if Kim Kardashian stripped down in front of them.
Which was clearly what the reality star was thinking as she got changed in front of pal Jonathan Cheban - to gauge whether or not he is gay.
The 30-year-old TV star was in the closet, so to speak, of her New York hotel and decided to carry out the 'test' after Kris Humphries gets her thinking about her friend's sexual orientation.

Kris is convinced PR guru Jonathan is homosexual - and tells him as much - but Kim is not so sure, saying they have never talked about his private life before.
The results of her little striptease - which aired last night in an episode of Kourtney & Kim Take New York - are inconclusive, however. Jonathan averts his eyes when she strips to her bra.
But later Kim tells Kris: 'I got changed in front of him to see if he would look but he didn't.'

Hugging it out: The reality star quizzes the PR guru about what he looks for in a partner

Thanks for the compliment: He responds by telling her he is attracted to light skin and a big behind, which Kim takes to mean her
However, she concluded, he could have just been being polite and courteous.
During their closet encounter, Kim quizzes Jonathan about what he looks for in a partner.
He jokes: 'Light skinned, big ass,' to which Kim jokes back: 'What if we are in love with each other.'
Later, in an apparent bid to prove he is straight, Jonathan goes on date with woman.

Dinner date: Kim and Kris join Jonathan at his apartment for dinner

Look who is here: He invites a girl along who he says he is taking out on a date

Kim and Kris meet her at his home before they go out - where Kris again asks Jonathan about his sexual preference.
While Jonathan remained rather elusive about his sexual orientation, he apparently wanted to prove conspiracy theorist Kris wrong, whose suspicions were alerted after accompanying Kim and Jonathan on a trip to a candle shop.
While Kris sat their looking bored, Jonathan appeared to enjoy perusing all the scented products on offer, which Humphries finds odd.
Whatever the case, Jonathan was last week spotted in Miami soaking up the sun with a mystery brunette where they put on an affectionate display.

Soaking up the sun: Cheban was spotted last week in Miami with a mystery brunette

Jan 1, 2012

New year, new look, new Kim: Miss Kardashian sports a fringe and a sexy white dress as she sees in 2012

If there was anyone who was itching to say goodbye to 2011 and welcome in a new year it's KimKardashian.
And what better way to do that than with a sexy new dress, a brand new fringe - and a huge party in Sin City.
The reality TV star looked sensational as she arrived at a New Year's Eve party in Las Vegas in a short white dress that clung to her sexy curves.

But it was her new hairdo that also attracted attention as she showed off a new fringe, signifying a new start in her life. She was the guest of honour at the TAO Nightclub at The Venetian Resort Hotel and Casino, and was joined by her family for the celebration.



And she posed again for the cameras as she rang in the new year as glitter fell around her.

Kim, 31, is reported to have earned $600,000 to ring in the New Year in Vegas and she jetted into the city with a number of her Kardashian clan in tow. The troop were seen arriving in Sin City by private jet early yesterday hours before the big bash



The reality star took to Twitter today to post her resolutions for the New Year and told her fans: 'Decided to change my twitter background to nothing. i wanna be more simple in 2012.' The background, which had displayed Kim on the cover of a plethora of magazines is now plain black.


Of course Kris Jenner was on hand to support her daughter and was seen along with Kim’s sister Kourtney and her beau Scott. The 32-year-old clearly isn’t letting her second pregnancy get in the way of enjoying a family party.
Kourtney covered her baby bump in a flowing white blouse which she teamed with a pair of grey skinnyjeans.
But while Kim rang in the New Year at TAO the happy couple were hosting a party of their own at Chateau nightclub.




Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...