Jan 10, 2012

The Latest Lace And Ankara Trends In Nigeria



FAB:6FONGOS Exclusive: Amber Rose Talks About Her New Single “Fame,” How It Compares To Kimmy Cakes’ “Jam” And How She And Wiz Spent Their Anniversary


Amber Rose has officially embarked on her music career, having released her first single “Fame” featuring Wiz Khalifa.

In White Boys Who Look Like Lil White Girls News: Justin “Box Eater” Bieber Covers V Magazine




BAA YAUZA BIA KWA MBWA WANAOFUATANA NA WATEJA

Mbwa aitwaye Franco akifaidi bia maalum kwenye baa ya Branding Villa. 

MTEJA anayefika kwenye baa ya Branding Villa huko Gosforth, Newcastle, Uingereza, akiwa na mbwa wake, sasa anaweza kuagiza bia maalum kwa ajili ya mnyama huyo.Bia hiyo ambayo huwa haina mapovu, hutengenezwa kwa kimea na vitu vya kuongeza ladha.

Meneja wa baa hiyo, Dave Carr, amesema bia hiyo ilianza kuuzwa ili kuleta mazingira bora kwa ajili ya mbwa wanaofuatana na wateja wao.Hatua hii imechukuliwa ili kutoa huduma bora zaidi kwa wanyama hao zaidi mbali na utaratibu uliopo sasa wa kuwapa bakuli na maji na biskuti maalum za mbwa.

Meneja huyo ameliambia gazeti la Daily Mail kwamba mbwa wote wameipenda bia hiyo, na kwamba iwapo wanyama hao hawataridhika kikamilifu na kinywaji hicho, bado wanaweza kuridhika na vyakula vya kwenye baa hiyo ambayo ni maalum kwa wanyama hao.

Jan 9, 2012

Rihanna is game for a laugh as she parades her pins courtside at LA Lakers match .

Something was amusing Rihanna at the basketball tonight - and apparently it wasn't the action on court.
The 23-year-old star looked a little distracted as she took the front row at the Staples Centre in Los Angeles where she was seen laughing away with a female friend.

The We Found Love singer looked great in a pair of Daisy Duke-style denim shorts which she teamed with a pair of beige Christian Louboutin heels with gold toe caps.

What a laugh: Rihanna giggles away courtside at the LA Lakers Vs Memphis Grizzlies in Los Angeles tonight

he completed her All-American outfit with a beige top emblazoned with the Star Spangled Banner as she sat courtside at the match, which saw the Lakers beat the Memphis Grizzlies 90-82.

Her outfit perfectly complimented her toned, shapely legs as she perched herself on one of the expensive front row seats. Rihanna looked like she was having a great time at the game, working her way through a large popcorn and a beer or two as well.


Munch bunch: Rihanna and her girlfriend work their way through a tub of popcorn


She smiled throughout and was obviously engrossed in at least some of the action, putting her hand up and chanting with her friend at one point.
Rihanna was in great spirits, perhaps spurred on by the fact she has just been announced as the biggest selling digital artist of all time.The Barbados singer has moved nearly 50 million digital downloads, according to Nielsen Soundscan.

What's going on here then? The singer is distracted by a few of her neighbours in the front row


Great view: A cheerleader catches Rihanna's eye


That's more than any other artist in history and five million more than second best sellers, The Black Eyed Peas.Since her début album Music of the Sun was released in 2005, Rihanna has moved a total of 47.5 million digital tracks.In 2011 alone, the You Da One singer sold 13.9 million digital copies.

More beers: Rihanna and her friend keep themselves buoyant and refreshed during the game


Regardless of how well her songs perform on iTunes and other download websites, Rihanna’s fans are generally not interested in buying her actual CDs.

Her top-selling disc, Good Girl Gone Bad, which included the mega-hit Umbrella, has sold only 2.7 million copies in the U.S. to date.And none of her other albums has surpassed the two million mark.

Front row: Rihanna's expensive seat is rather costly, but small change to the millionaire singer

DIAMOND, WENZAKE WAHUKUMIWA JELA MIEZI 6, WALIPA FAINI

Diamond (kulia) na mcheza shoo wake wakiwa nje ya mahakama ya mwanzo mjini Iringa leo asubuhi muda mfupi kabla ya kuhukumiwa.

MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul Jumaa ‘Diamond’ na wenzake wamekubali kosa la kumshambulia mwandishi Francis Godwin na kuhukumiwa kwenda jela miezi sita kila mmoja ama kulipa faini ya shilingi elfu hamsini (50,000/=) kwa kila mmoja ikiwa ni pamoja na kulipa shilingi elfu thelathini (30,000/=) kwa Godwin.

Watuhumiwa wamelipa faini hiyo japo mwanahabari huyo hajapokea fedha hiyo na anakusudia kukata rufaa katika mahakama ya juu zaidi.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...