Jan 19, 2012

Isabeli Fontana for Vogue Espana, February 2012!

Isabeli Fontana covers the February issue of Vogue Espana in a photo shot by Alexi Lubomirski. Enjoy.

Giuliana Rancic Opens Up About Her Battle With Breast Cancer



The inspirational Giuliana Rancic’s story is far from over. In the January/February 2012 issue ofMichigan Avenue, the E! News Live and Fashion Police host opened up about her battle with breast cancer.

“People come up and they have sadness in their eyes, and I think, at a time when everyone’s looking at me with pity, I look at myself as lucky,” Giuliana told the magazine’s editor-in-chief,Susanna Negovan. “I think I just dodged the biggest bullet of my life.

”Giuliana looked angelic in a gleaming white frock and sky high gold heels on the mag’s cover. The shoot was conducted just one night before her double mastectomy –now that’s one brave, busy lady!

Read 8 Tips for Eating Out Without Blowing Your New Year's Resolutions

The 36-year-old star opened up in her interview; speaking about the moment she discovered her cancer diagnosis and her longing to start a family. Giuliana also expressed gratitude to her multitudes of supporters.

“I felt this overwhelming love and prayers coming from all over the world,” she explained to Negovan. “I think because breast cancer touches so many people, when someone hears you have it, they just shower you with love. The one word I always saw in all the messages was strong. You’re so strong, stay strong, be strong—when you hear something enough, you start believing it. I was like, I’m strong, I’m strong, I’m strong. That’s what helped me get through a lot of this.”

In typical Giuliana style, you can expect big things in the works. We’re wondering if this survivor will ever take a rest, but we can totally throw our support behind her new idea!

“I want to do something like Make-a-Wish for breast cancer patients so these women can enjoy the things I get to enjoy,” she told the magazine. “Everything from ‘I’ve never owned a pair of Louboutins’ to ‘I’ve never met Ryan Gosling.’ Bill actually came up with the cutest name: Fab-u-wish.”

Sounds fabulous to us!

MCHEZAJI WA MPIRA WA KIKAPU ALPHAEUS DAVID KISUSI AENDA MASOMONI CANADA.


Mshezaji wa mpira wa kikapu wa timu ya Taifa na Club ya VIJANA- ‘CITY BULLS’ Alphaeus David Kisusi anatarajiwa kuondoka nchini jumanne ya tarehe 17/1/2012 kuelekea nchini Canada Kimasomo kufuatia Scholraship aliyoipata Katika Chuo Kikuu cha NEWFOUND MEMORIAL.

Mwaka jana mwezi wa nane MAMBO BASKETBALL pamoja na Tanzania Students Achievement Organisation (TANSAO) ambayo ni asasi sisizo za kiserikali walifanya mafunzo ya mpira wa kikapu (Basketball Camp) iliyoongozwa na Coach Peter Benoite toka katika chuo kikuu cha Newfound Memorial kwa nia ya kutoa nafasi (Partial schorlaship) kwa mchezaji wa ki-Tazania ambapo Alphaeus alifanikiwa baada ya kukidhi mahitaji ya kupata nafasi hiyo ambayo yalikuwa ni uwezo wa kucheza Mpira wa kikapu na matokeo mazuri kimasomo. Alphaeus pamoja na kucheza katika timu ya chuo hicho atakuwa akisomo kozi ya ‘International Business’ kwa miaka 3.

Alphaeus alizaliwa mwaka 1992, Ana urefu wa futi sita na inchi 3, Kilo 74 na anacheza nafasi ya ‘shooting guard’. Ni mtoto wa tatu katika familia ya Bwana David na Elizabeth Kisusi. Amemaliza elimu ya sekondari kidato cha sita katika shule ya kimataifa ya Academic iliyopo jijini Dar es salaam. Alianza kucheza mpira wa kikapu baada ya kuhamasishwa na kaka yake aitwaye Joseph ambae ni mchezaji katika timu ya CHUI ya hapa DSM na akajikuta akiacha kujihusisha na michezo mingine aliyocheza akiwa na umri wa miaka 12.
Pamoja na kuhudhuria mafunzo mbalimbali ya mchezo huu Alpha katika kipindi cha miaka 4 iliyopita alifanikiwa kwenda Senegal na kuhudhuria katika mafunzo yaliyo chini ya NBA yajulikanayo kama ‘Basketball Without Border’ BWB. Alikuwa ni miongoni mwa wachezaji 3 wa kitanzania walichaguliwa kwenda Marekani mwaka Jana kufuatia mafunzo ya wacheazi wa zamani toka Marekani yaliyofanyika hapa Dar es salaam. Msimu ulipoita alichaguliwa kuwa mchezaji bora katika ligi daraja la kwanza ambapo aliiongoza timu yake ya VIIJANA kushika nafasi ya tatu.

NI matumaini ya MAMBO BASKETBALL kuwa Alphaeus atakuwa mfano wa kuigwa na wachezaji wanoibukia, pia itakuwa changamoto kubwa kwa wachezaji walioko mashuleni haswa wale jijini Mwanza ambapo kwa kushirikiana tena na Program ya mpira wa kikapu ya Newfound Memorial university tunatarajia kufanya mafunzo mengine mwezi wa saba mwaka huu jijini mwanza na Arusha. Nafasi hiyo ya masomo itatolewa tu kama atapatikana mchezaji atakayekidhi vigezo vikuuu ambavyo ni uwezo kielimu na kimchezo.
MAMBO BASKETBALL inamtakia kila la heri na kuwapongeza sana wazazi wa Alphaeus ambao katika kipindi chote wamekuwa wakihakikisha kuwa ana-balance kati ya shule na michezo, pia kutoa wito kwa wachezaji vijana walioko mashuleni kukazania masomo kwani ndio ufunguo wa kila jambo na ili ufanikiwe kimichezo SHULE NI LAZIMA! Pongezi nyingine ziende kwa wadau wote wa mpira wa kikapu TBF, BD, Wachezaji na vyombo vya habari ambao kwa njia moja au nyingine wamefanikisha ndoto hii kutimia.



Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...