Jan 7, 2012

Weekend Outfit Idea!!!


                                   Wishing you a fabulous weekend!!!

NICKI MINAJ BEFORE THE PLASTIC SURGERY??

                                                  nikky minaj before surgery


Diamond kupanda kortini jumatatu


NYOTA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, Jumatatu atapanda kwenye kizimba cha Mahakama ya Wilaya, Iringa akikabiliwa na msala wa kuharibu mali.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, msanii huyo anatakiwa kutinga mahakamani hapo asubuhi ya saa 2:30, bila kukosa huku ikisemekana mlalamikaji alilazimika kufungua kesi hiyo kufuatia mlalamikiwa kupuuza makubaliano.

Diamond ambaye yumo ndani ya mgogoro mkubwa na aliyekuwa mchumba’ake, Wema Sepetu, alishikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Iringa siku moja kabla ya kuingia kwa mwaka mpya wa 2012 akidaiwa kuharibu mali ya mwandishi wa habari, Francis Godwin.

Katika sakata hilo, Diamond alitakiwa kumlipa mwandishi huyo Sh. milioni 1.8, lakini akaomba hadi Sh. milioni 1.7 na kumuomba msahama yaishe.

Justin Bieber Gets Big Jesus Christ Tattoo on His Leg


Justin Bieber has made a lifelong commitment to Jesus Christ – with a tattoo.

The 17-year-old “Baby” singer was spied on a Los Angeles beach on Jan. 5 sporting a large portrait of the 
Son of God on his left calf.

The black ink portrait, which is approximately about 5” tall, appears to be inspired by an illustration for “The Mysteries of the Crown of Thorns,” written by a Passionist Father in 1879.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...